Thursday, December 22, 2011

KULALA NI STAREHE JAMANI.

 
click picture to get more
Cchumba cha kulala nimuhimu sana kuwa na mpangilio wa vitu ili  kuwe na muonekano wa kutosha na hewa safi.

Mapazia ni pambo moja wapo la chumba hukifanya kionekane na vuto na hufanya mtu awe confortamble na mazingira ya chumba.kama chumba ni kikubwa kuna vitu muhimu ya kuweka kama kiti au koch kwani si lazima mda wote ukae kitandani unaweza kaa kwenye kiti na ukafanya mambo yako mengine.



click picture to get more

No comments:

Post a Comment